تیتر سه زیرسرویس
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi atoa tahadhari kuhusiana na kulinganisha alama za kudhihiri
Hawza/ Kwa masikitiko, mojawapo ya changamoto kubwa katika suala la Mahdawiyya ni kuenea ulinganisho wa alama za kudhihiri kwa mtazamo wa kijuujuu na usio na msingi wa kielimu; mtazamo wa upotofu…
-
Ayatullah al-‘Udhmaa Jawadi Amoli:
Usiku wa nusu ya Sha‘ban ni “Laylatul Qadr”
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli wamesema: Imam al-Baqir (a.s.) amesema kuwa usiku wenye fadhila kubwa zaidi baada ya Laylatul Qadr ni usiku wa nusu ya Sha‘ban, usiku ambao Mwenyezi Mungu…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (62)
Magharibi na Mahdawiyya (Sehemu ya Pili)
Hawza/ Vyombo vya habari ni miongoni mwa nyenzo zenye ushawishi mkubwa zaidi katika dunia ya leo; kwani mbali na kazi zao za moja kwa moja za kuwaathiri watu binafsi, pia vina uwezo wa kuathiri…
-
Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwa Qamar Bani Hashim (a.s.):
Mtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.) na fadhila ya kufufuliwa pamoja na Malaika
Hawza/ Fadhila ya kufufuliwa pamoja na malaika, ambayo hakuna ladha iliyo juu yake, imetajwa katika riwaya pia kwa mja mwema wa Mwenyezi Mungu, Mtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.). Malipo ya aina…
-
Kuielekea Jamii Bora (Jamii ya Kimaadili): Tafiti za Mahdawiya (61)
Magharibi na Mahdawiya (Sehemu ya Kwanza)
Hawza/ Uhusiano uliopo kati ya kudhihiri kwa mwokozi na sifa kama vile kuenea kwa haki, kupinga dhuluma, na kadhalika, umesababisha wanadamu wa dini na itikadi zote daima kuwa na hamu na shauku…
-
Je, umesoma Munajat “Sha‘baniyah”? Isome!
Hawza/ Imam Khomeini (r.a), ambaye yeye mwenyewe alikuwa mfano wa maarifa kamili ya kiroho, na aliyeitoa nafsi yake kutoka kwenye hatari za dunia, katika vipindi mbalimbali, akikutana na makundi…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (60)
Athari za Mikondo Potofu na Jinsi ya Kukabiliana Nayo
Hawza/ Licha ya uadui mwingi unaokabili mafundisho ya dini, kuzingatiwa kwa itikadi ya Mahdawiyya kunazidi kuongezeka siku baada ya siku. Kuongezeka hamu na hisia ya haja katika nyanja za kiakili…
-
Mafunzo katika Qur'ani
Kumsahau Mwenyezi Mungu ndio mwanzo wa mwanadamu kuanguka
Hawza/ Kumsahau Mwenyezi Mungu ni mwanzo wa kuanguka kiroho kwa mwanadamu, jambo linaloishia katika kujisahau nafsi yake mwenyewe. Kwa mujibu wa Aya ya 19 ya Suratul Hashr, mwanadamu anayemsahau…
-
Kuielekea Jamii bora: Tafiti zaa Mahdawiyya (59)
Wanaodai Uongo Kwamba ni Manaibu wa Imamu
Hawza/ Bila shaka, kila itikadi inayokaribia zaidi ukweli na kupenya kwenye nyoyo za watu, hupelekea zaidi watu wenye tamaa kujitokeza wakitafuta manufaa machafu kupitia itikadi hiyo. Mafundisho…
-
Mafunzo Katika Sahifat Sajjadia:
Je! Ni Vipi Tutasalia Katika Njia ya Kuridhiwa na Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam Zaynu al-Abidin (a.s) ndani ya Sahifa Sajadiya katika dua yenye maana ya kina, anamuomba Mungu ampe uwezo wa kuchagua njia inayomridhisha Mwenyezi Mungu, anapokutana na mitihani ya…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
Ili Waislamu Wawe Bora, Qur'an Imetoa Sharti Hili
Hawza/ Ufunguo wa heshima na ushindi kwa Waislamu upo katika imani thabiti, kusimama imara katika njia ya haki, na kushikamana na maadili ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu anasema katika Qur’ani…
-
Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amoli:
Vijana na Mabinti Wawe ni Wenye Shukrani Kutokana na Jitihada Walizo Zifanya Wazazi Wao Kwao
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Jawadi Amoli aliwashauri wasichana na wavulana kuwa wenye shukrani kwa juhudi zilizofanywa na baba na mama kuwaelekea wao.
-
Kioo cha Unabii: Wakati Binti wa Mtume Alipokuwa Katika Daraja la Unabii
Hawza/ Bibi Fatima Zahra (amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake) aliishi siku sabini na tano baada ya Mtume, na katika kipindi hiki Jibril Amin alikuwa akiteremka mara kwa mara juu yake na kueleza…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (58)
Mapinduzi kabla ya kudhihiri Imam Mahdi (a.s.)
Hawza/ Baadhi ya watu, wakitegemea baadhi ya riwaya, wamefikia hatua ya kudhania kwamba aina yoyote ya harakati dhidi ya watawala madhalimu kabla ya kudhihiri kwa Imam wa Zama (a.s.) ni haramu;…
-
Mafunzo Katika Sahifat Sajjadia:
Jinsi ya Kujiepusha na Majivuno Wakati wa Mafanikio Makubwa
Hawza/ Wakati wa kufikia daraja za kidunia au kiakhera, hatari ya majivuno hutukabili; Imam Zaynul Abidin (a.s.) anatupa mwongozo wa kujilinda na hatari hii.
-
Mafunzo Katika Nahjul Balagha:
Je! Ni kwa Sababu Ipi Wino wa Wanazuoni Unepewa Uzito Mkubwa Kuliko Damu ya Mashahidi?
Hawza/ Amirul-Mu’minin Ali (a.s.) anaiona elimu kuwa ni urithi wenye thamani kubwa mno; na kwa hakika, urithi huu hauwezi kulinganishwa na jambo jingine lolote katika Uislamu.
-
Je, Hazrat Ummul-Banin (s.a.) alifariki kiasili au aliuawa shahidi?
Hawza/ Pamoja na kwamba vyanzo vya kale vimekaa kimya kuhusiana na namna ya kufariki kwa Hazrat Ummul-Banin (s.a.), ripoti za baadaye zimewawekea watafiti simulizi mbili tofauti: kundi moja linaamini…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
Ili Kuokoka na Majuto ya Siku ya Kiyama Tufanye Nini?
Hawza/ Kila wakati unaopita bila kumkumbuka Mwenyezi Mungu, huacha majuto marefu; na kumbukumbu hii si kwa ulimi pekee, bali lazima ionekane na idhihirike pia katika vitendo.
-
Mafunzo Katika Sahifa Sajjadia:
Daima Jione Kuwa ni Mwenye Mapungufu
Hawza/ Kuona matendo mema kuwa makubwa na kuyafanya makosa na madhambi yaonekane kuwa ni madogo, kunaweza kuwa kikwazo katika njia ya ucha-Mungu wa mwanadamu; kwa hiyo, usia wa Maa’sumina (amani…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (57)
Tawkī‘āt za Imam Mahdi (a.s.)
Hawza/ Miongoni mwa njia zinazobainisha mas-ala na kuondoa shubha ni kutumia mwongozo na kunufaika na tawkī‘āt na maandiko ya mkono ambayo Imam Mahdi (a.s.) alikuwa akiyaandika kwa watu waliokuwa…